forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
428 B
Markdown
9 lines
428 B
Markdown
# msimkateze mtu yeyote kunena kwa lugha
|
|
|
|
Paulo anaweka wazi kuwa kuongea kwa lugha kanisani inawezekana na inakubalika
|
|
|
|
# Lakini mambo yote yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu
|
|
|
|
Paulo anasisistiza kwamba makusanyiko ya kanisa( waumini) lazima yafanyike katika utaratibu mzuri. kwa maneno mengine " lakini fanyeni mambo yote kwa uzuri na katika utaratibu" au " lakini fanyeni kila kitu kwa utaratibu mzuri, kwa njia inayofaa"
|
|
|