sw_tn/1co/11/33.md

287 B

mkutanikapo mpate kula

kusanyikeni kula chakula pamoja kabla ya kusherekea chakula cha Bwana

ngojeaneni

" Kabla ya kuanza kula wasubirie na wengine hadi wafike"

ale nyumbani kwake

"ale kabla ya kuhudhuria mkutano huu"

isiwe kwa hukumu

" lisiwe tukio la Mungu kuwaadhibu"