forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
584 B
Markdown
29 lines
584 B
Markdown
# kama ninafanya hivi kwa hiari
|
|
|
|
"kama nitahubiri kwa hiari"
|
|
|
|
# kwa hiari
|
|
|
|
"kwa furaha" au "kwa sababu ninataka"
|
|
|
|
# Bado nina jukumu nililopewa kuwa wakili
|
|
|
|
katika muundo wa kitenzi tendaji:- "Lazima nifanye kazi hii ambayo Mungu alinip ili kuikamilisha"
|
|
|
|
# thawabu yangu ni nini?
|
|
|
|
" Hii ndiyo thawabu yangu."
|
|
|
|
# kwamba nihubiripo, niweze kutoa injili bila malipo
|
|
|
|
"Thawabu yangu kwa ajili ya kuhubiri ni kuwa nihubiri bila kupokea malipo"
|
|
|
|
# kutoa injili
|
|
|
|
"kuhubiri injili"
|
|
|
|
# na hivyo situmii haki yangu yote ya injili
|
|
|
|
"kwa hiyo siwaombi watu kunisaidia ninaposafiri na kuhubiri"
|
|
|