forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
786 B
Markdown
25 lines
786 B
Markdown
# Sentensi Unganisha
|
|
|
|
Paulo anaelezea anavyotumia uhuru wake katika Kristo
|
|
|
|
# mimi si huru?
|
|
|
|
Paulo anatumia swali kuwakumbusha Wakorintho juu ya haki alizo nazo. " mimi ni mtu niliye huru."
|
|
|
|
# Mimi si mtume?
|
|
|
|
Paulo anatumia swali hili kuwakumbusha Wakoritho juu ya vile alivyo na haki aliyo nayo. "Mimi ni mtume."
|
|
|
|
# Mimi sikumwona Yesu Bwana wetu?
|
|
|
|
Paulo anatumia swali hili kuwakumbusha Wakoritho juu ya vile alivyo. "Nimemuona Yesu Bwana wetu."
|
|
|
|
# Ninyi si matunda ya Kazi yangu katika Bwana?
|
|
|
|
Paulo anatumia swali hili kuwakumbusha Wakoritho juu ya uhusiano wao kwakwe. "Imani yenu katika Kristo ni matokeo ya kazi yangu katika Bwana."
|
|
|
|
# ninyi ni uthibitisho wa utume wangu katika Bwana.
|
|
|
|
" ninyi ni kielelzo ambao naweza kutumia kuthibitisha kuwa Bwana amenichagua kuwa mtume "
|
|
|