sw_tn/1co/06/07.md

306 B

usumbufu

"shindwa" au "poteza"

Kwanini msumbuke kwa mabaya? Kwaninimruhusu ninyi wenyewe kudanganywa?

"Ni bora kuacha wengine kuwafanyia mabaya na kuwadanganya kuliko kuwapeleka mahakamani,"

kaka na dada zenu wenyewe

Waumini wote katika Kristo ni kaka na dada kwa kila mmoja. "Waumini wenzako"