sw_tn/1co/06/01.md

1.2 KiB

Sentensi Unganishi

Paulo anaelezea jinsi waumini wanavyoweza kusuruhisha migogoro miongoni mwao

Tatizo

"Kutokubaliana" au "Mabishano"

je anathubutu kwenda kwa mahakama ya dunia mbele ya hakimu asiyeamini, kuliko mbele ya waumini?

Paulo asema kwamba Wakristo lazima wamalize matatizo miongoni mwao wenyewe. " Asithubutu kwenda.... waumini" au " anapaswa kuwa na hofu ya Mungu na asiende...waumini!"

mahakama ya wasio haki

Ni sehemu ambapo hakimu wa serikali huamua kesi na kuamua nani aliye na haki.

Hamjuwi kwamba waumini watauhukumu ulimwengu?

Paulo anawafanya Wakoritho wapate aibu kwa kutenda kana kwamba hawajui

Kama mtauhukumu ulimwengu, hamuwezikuweka sawa mambo yasiyo ya muhimu?

Paulo anasema baadaye watapewa wajibu mkubwa, hivyo kwa sasa lazima kushughulikia haya maswala madogo. "Mtauhukumu ulimwengu wakati ujao, hivyo mnaweza kusuruhisha tatizo hili kwa sasa."

Je mnajui kwamba tutawahukumu malaika?

Paulo anashangaa maana wanaonekana hawajui "Mnajua kwamba tutawahukumu malaika."

Kwa kiasi gani zaidi, tunaweza kuamua mambo ya maisha haya?

"Kwa sababu tunajua kuwa tutawahukumu malaika, na katika maisha haya tunauhakika kuwa Mungu anauwezo wa kuhukuma mambo mbali mbali."