sw_tn/1co/03/01.md

953 B

Sentensi Unganishi

Paulo sasa anawakumbusha waumini wa Korintho juu maisha yao halisi badala ya kuishi kwa kujiheshimu kuzingatia nafasi yao mbele za Mungu. pia anawakumbusha kuwa mtu anayewapa mafundishi hawezi kuwa na unuhimu kama Mungu ambaye anawawezesha kukua.

kaka na dada zangu

hii inamaanisha washirika wote(wakristo) wanaume na wanawake

Watu wa kiroho

Watu wanaoishi kwa kumtii Roho

Watu wa mwilini

Watu ambao hufuata matakwa yao wenyewe

Kama watoto wachanga katika Kristo

Wakorintho wanalinganishwa na watoto wachanga katika umri na katika ufahamu. "Kama waumini wachanga katika Kristo"

Niliwanywesha maziwa na siyo nyama

Wakorintho wanaweza kuelewa mafundisho rahisi kama watoto wachanga ambao wanaweza kunywa maziwa tu. Hawajawa watu wazima kuelewa mafundisho ya kina kama watoto wakubwa ambao sasa wanaweza kula chakula kigumu.

Hamko tayari

"Hamko tayari kuelewa mafundisho magumu kuhusu kumfuata Kristo."