# Sentensi Unganishi Paulo sasa anawakumbusha waumini wa Korintho juu maisha yao halisi badala ya kuishi kwa kujiheshimu kuzingatia nafasi yao mbele za Mungu. pia anawakumbusha kuwa mtu anayewapa mafundishi hawezi kuwa na unuhimu kama Mungu ambaye anawawezesha kukua. # kaka na dada zangu hii inamaanisha washirika wote(wakristo) wanaume na wanawake # Watu wa kiroho Watu wanaoishi kwa kumtii Roho # Watu wa mwilini Watu ambao hufuata matakwa yao wenyewe # Kama watoto wachanga katika Kristo Wakorintho wanalinganishwa na watoto wachanga katika umri na katika ufahamu. "Kama waumini wachanga katika Kristo" # Niliwanywesha maziwa na siyo nyama Wakorintho wanaweza kuelewa mafundisho rahisi kama watoto wachanga ambao wanaweza kunywa maziwa tu. Hawajawa watu wazima kuelewa mafundisho ya kina kama watoto wakubwa ambao sasa wanaweza kula chakula kigumu. # Hamko tayari "Hamko tayari kuelewa mafundisho magumu kuhusu kumfuata Kristo."