# mambo makuu
Haya ni matendo yanayoonyesha ujasiri, uweza, au ujuzi.
# theluji ikianguka
"wakati wa dhoruba ya theluji"
# lakini alimfuata chini
"Benaia alikutana na Mmisri"
# mkuki kama gongo la mshonaji
"mkuki mkubwa sana"