sw_tn/zep/03/12.md

298 B

hakuna ulimi wa udanganyifu utakaoonekana mdomoni mwao

"hakuna hata mmoja atakayeonekana na ulimi wa udanganyifu mdomoni mwake" au "hawatasema vitu vya udanganyifu."

watafunga na kulala chini

Yahweh husema kwa watu wa israeli kama wao ni kundi la kondoo wanaofunga na kupumzika kwa usalama.