forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
706 B
Markdown
24 lines
706 B
Markdown
# Tamko la Yahweh
|
|
|
|
Hii inamaanisha Yahweh amesema kwa makini.
|
|
|
|
# Inuka kwa waathirika
|
|
|
|
"Inuka kuangamiza waathirika"
|
|
|
|
# kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme
|
|
|
|
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu sawa na kusisitiza kwamba Yahweh atayahukumu mataifa yote.
|
|
|
|
# hasira yangu, ghadhabu yangu kali yote
|
|
|
|
Maneno "hasira" na "ghadhabu kali" kimsingi ina maana sawa na inasisitiza kiwango cha hasira ya Yahweh. "hasira yangu kali."
|
|
|
|
# hivyo nchi yote itakuwa imemezwa kwa moto wa hasira yangu
|
|
|
|
Maneno haya yanaweza kuelezewa kwa mfumo wa kitendo. "kwa hiyo moto wa hasira yangu utameza nchi yote."
|
|
|
|
# kuteketezwa kwa moto wa hasira yangu
|
|
|
|
Hasira hapa imesemwa kama kutakuwa na moto ambao utateketeza kitu fulani.
|