sw_tn/zep/03/08.md

706 B

Tamko la Yahweh

Hii inamaanisha Yahweh amesema kwa makini.

Inuka kwa waathirika

"Inuka kuangamiza waathirika"

kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme

Maneno haya mawili yanamaanisha kitu sawa na kusisitiza kwamba Yahweh atayahukumu mataifa yote.

hasira yangu, ghadhabu yangu kali yote

Maneno "hasira" na "ghadhabu kali" kimsingi ina maana sawa na inasisitiza kiwango cha hasira ya Yahweh. "hasira yangu kali."

hivyo nchi yote itakuwa imemezwa kwa moto wa hasira yangu

Maneno haya yanaweza kuelezewa kwa mfumo wa kitendo. "kwa hiyo moto wa hasira yangu utameza nchi yote."

kuteketezwa kwa moto wa hasira yangu

Hasira hapa imesemwa kama kutakuwa na moto ambao utateketeza kitu fulani.