sw_tn/zep/03/06.md

229 B

Nimeifanya mitaa yao magofu, hivyo hakuna atakayepita juu yao. Miji yao imeharibiwa hivyo hakuna mwanaume atakayekaa humo

Yahweh anaelezea wazo lililo sawa kwa njia mbili tofauti ili kusisitiza ukamilifu wa uharibifu wa miji.