sw_tn/zep/03/03.md

388 B

Wakuu wao ni simba waungurumao katikati yao

"Viongozi wa Yerusalemu ni wenye vurugu"

Majaji wao ni mbwa mwitu wa jioni wasiobakiza chochote ambacho kitakuwa kimetafunwa mpaka asubuhi

"Majaji wao ni watu waovu ambao huchukua vitu ambavyo ni mali za wengine." Hii pia ni mfano.

Manabii wao ni wadhulumaji na wanaume wahaini."

"Manabii wao siowatii na wanaume wasio waaminifu."