sw_tn/zep/01/07.md

436 B

Yahweh ameandaa sadaka na amewatenga wageni wake

Lugha hii inaonyesha mwisho wa mpango wa Mungu na jinsi anavyowatumia adui za watu wake kukamilisha makusudi yake.

Katika siku ilie

"Katika siku ya Yahweh"

kila mmoja amevaa mavazi ya kigeni

maneno haya yanaonyesha kwamba Waisraeli walivaa nguo sawa na za wageni kuonyesha huruma kwa mila zao na kwa ibada zao kwa miungu ya kigeni.

Katika siku ile

"Katika siku ya Yahweh"