forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
343 B
Markdown
12 lines
343 B
Markdown
# neno la Yahweh lililokuja
|
|
|
|
"neno ambalo Yahweh Mungu alilisema"
|
|
|
|
# Nitaangamiza kabisa kila kitu kutoka usoni mwa dunia...Nitamkata mwanadamu kutoka katika uso wa dunia
|
|
|
|
Haya ni makusudi kwa ukuzaji wa Yahweh kueleza hasira yake kwa dhambi za watu.
|
|
|
|
# Kukata
|
|
|
|
Kuangamiza limezungumzwa kama kilikuwa kikikatwa kitu fulani kutoka mahali pake.
|