sw_tn/zep/01/01.md

343 B

neno la Yahweh lililokuja

"neno ambalo Yahweh Mungu alilisema"

Nitaangamiza kabisa kila kitu kutoka usoni mwa dunia...Nitamkata mwanadamu kutoka katika uso wa dunia

Haya ni makusudi kwa ukuzaji wa Yahweh kueleza hasira yake kwa dhambi za watu.

Kukata

Kuangamiza limezungumzwa kama kilikuwa kikikatwa kitu fulani kutoka mahali pake.