|
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa
|
|
|
|
# wamesimama katika miguu yao
|
|
|
|
"kutembea tembea"
|
|
|
|
# na mkono wa mwingine utainuliwa kinyume cha mkono wa mwenzake
|
|
|
|
Kila mtu atamshambulia mwenzake.
|