forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
805 B
Markdown
36 lines
805 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Mistari hii inaanza sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.
|
|
|
|
# tamko la neno la Yahwe
|
|
|
|
Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.
|
|
|
|
# azitandaye mbingu
|
|
|
|
"aliyeumba anga"
|
|
|
|
# kuweka msingi wa dunia
|
|
|
|
"kuiweka dunia yote mahali pake"
|
|
|
|
# aiumbaye roho ya mtu ndani yake
|
|
|
|
"aliumba roho ya mtu"
|
|
|
|
# kikombe
|
|
|
|
"kikombe cha kitu cha kunywa"
|
|
|
|
# kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao
|
|
|
|
Hii ni, kinywaji ni pombe itakayowafanya majeshi wanaoishambulia Yerusalemu kulewa na kushindwa kupigana.
|
|
|
|
# yeye
|
|
|
|
Huo ni, mji wa Yerusalemu. Ilikuwa kawaida kwa kiebrania kuzungumzia mji au nchi kama ni mwanamke.
|
|
|
|
# jiwe zito kwa watu wa jamaa zot
|
|
|
|
"kisichowezekana kuondolewa"
|