sw_tn/zec/12/01.md

805 B

Maelezo ya Jumla:

Mistari hii inaanza sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.

tamko la neno la Yahwe

Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.

azitandaye mbingu

"aliyeumba anga"

kuweka msingi wa dunia

"kuiweka dunia yote mahali pake"

aiumbaye roho ya mtu ndani yake

"aliumba roho ya mtu"

kikombe

"kikombe cha kitu cha kunywa"

kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao

Hii ni, kinywaji ni pombe itakayowafanya majeshi wanaoishambulia Yerusalemu kulewa na kushindwa kupigana.

yeye

Huo ni, mji wa Yerusalemu. Ilikuwa kawaida kwa kiebrania kuzungumzia mji au nchi kama ni mwanamke.

jiwe zito kwa watu wa jamaa zot

"kisichowezekana kuondolewa"