sw_tn/zec/09/05.md

499 B

taona

"ataona Tiro ikiharibiwa"

Wageni watafanya makazi yao katika Ashidodi

"Wageni wataichukua Ashidodi na kufanya makao yao pale"

nami nitakiondoa kiburi cha Wafilisiti

"Nitawafanya Wafilisita wasijivune tena"

Nitaondoa damu yao katika vinywa vyao na machukizo yao kutoka kati ya meno yao

Hii inamaanisha nyama pamoja na ndamu ndani, na nyama iliyotolewa kwa vinyago. Yaani "Sitawaruhusu tena kula nyama pamoja damu ndani yake, na nitawazui kula chakula kilichotolewa kwa sanamu"