sw_tn/zec/08/11.md

618 B

kama siku za kale

"kama katika wakati uliopita"

Nitakuwa pamoja na masalia ya watu hawa

"Sasa nitawabariki watu hawa" au "Sasa nitawatendea watu hawa kwa upole"

mbegu ya amani itapandwa

"Nitawafanya kuwa katika amani"

Hili ni tamko la Yahwe

Kifungu hiki kwa kawaida kimetafsiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.

nchi itatoa mazao yake

"kutakuwa na kuvuna kwema katika mashamba"

mbingu zitatoa umande wake

Umande kwa kawaida ilikuwa ni ishara ya mafanikio. Yaani "kuwatuwa na mvua nyingi"

kuyarithi yote haya

"kuwa na haya yote wakati wote"