sw_tn/zec/08/06.md

493 B

Kama jambo haliwezekani katika mcho ya

"Ikiwa jambo fulani halionekani kuwezekana"

masalia ya watu hawa

"watu wa Yuda waliosalia"

Je! lisiwezekane pia machoni pangu?

Mungu anauliza swali hili ili kuwashawishi watu wake kuamini ahadi zake.

Hili ni tamko la Yahwe

Kifungu hiki kwa kawaida kimetafsiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.

Ninaelekea kuwakomboa watu wangu

"Niko karibu kuwakomboa watu wangu walikwenda uamishoni"