sw_tn/zec/06/14.md

776 B

Taji itawekwa katika hekalu la Yahwe

"Nitaweka taji yangu katika hekalu langu"

Taji

Neno "taji" inamtaja mfalme kama ambavyo mfalme angevaa taji.

iliwekwa katika hekalu la Yahwe

Hii inahusu mfalme pia akiwa kuhani, kama kuhani anatumika hekaluni.

Heldai, Tobiya, na Yedaya

Haya ni majina ya wanaume

kama kumbukumbu ya ukarimu wa mwana wa Zefania

Baadhi ya matoleo ya kisasa yanafasiri kifungu hiki "kama kumbukumbu kwa Heni, mwana wa Zefania" au "kama kumbukumbu kwa mwenye neema, mwana wa Zefania." Pia, baadhi ya matoleo ya kisasa yanafasiri neno "Heni" kumaanisha jina "Yosia."

walioko mbali

Hii inawahusu Waisraeli waliokuwa wamesalia Babeli.

hivyo utajua

Neno "wewe" inamaanisha watu wa Israeli.

sikilizeni kweli

"sikilizeni kwa uaminifu"