forked from WA-Catalog/sw_tn
534 B
534 B
Maelezo ya Jumla:
Malaika wa Yahwe anaendelea kuengea na Yoshua.
wenzako wanaoishi nawe
"makuhani wengine wanaoishi nawe"
mtumishi wangu tawi
Jina "tawi" linapaswa kutafisiriwa vilevile kama tawi la mti. Inamaana kuwa mtumishi wa Yahwe atakuja kutoka kwa Yahwe kama tawi litokavyo katika mti.
macho saba
Hizi ni pande saba.
chonga
"chora"
andishi
maneno yaliyoandikwa juu ya kitu fulani au kukatwa katika kitu fulani
hili ni tamko la Yahwe wa majeshi
Kifungu hiki mara nyingi hufasiriwa kama "asema Yahwe"