sw_tn/zec/03/08.md

534 B

Maelezo ya Jumla:

Malaika wa Yahwe anaendelea kuengea na Yoshua.

wenzako wanaoishi nawe

"makuhani wengine wanaoishi nawe"

mtumishi wangu tawi

Jina "tawi" linapaswa kutafisiriwa vilevile kama tawi la mti. Inamaana kuwa mtumishi wa Yahwe atakuja kutoka kwa Yahwe kama tawi litokavyo katika mti.

macho saba

Hizi ni pande saba.

chonga

"chora"

andishi

maneno yaliyoandikwa juu ya kitu fulani au kukatwa katika kitu fulani

hili ni tamko la Yahwe wa majeshi

Kifungu hiki mara nyingi hufasiriwa kama "asema Yahwe"