sw_tn/zec/02/08.md

696 B

Maelezo ya Jumla:

Zakaria anasema jinsi Yahwe anavyomtuma kuwahukumu mataifa walioiteka Yerusalemu.

Kuwateka ninyi

"kuiba vitu kutoka Yerusalemu baada ya kuwa imeshambuliwa"

maana kila akugusaye

"Kugusa" inamaanisha kudhuru

mboni ya jicho la Mungu

mboni ya jicho inamaanisha sehemu nyeusi katika jicho inayomwezesha mtu kuona. Hii ni sehemu muhimu sana katika mwili wa mtu. Hii inaonesha kwamba Yerusalemu ni ya muhimu sana kwa Mungu na ni kitu ambacho Mungu atakilinda.

tikisa mkono wangu juu yao

hii ni ishara inayotumika kuonesha Mungu amechagua Kuharibu jambo fulani.

na watakuwa mateka

Miji yao imeharibiwa tiyari na imeachwa wazi kwa watu kuiba chochote watakacho.