sw_tn/zec/02/03.md

635 B

malaika mwingine akaenda kukutana naye

Huyu ni malaika mwingine ambaye hajawai kutokea hapo mwanzo, na hivyo anatambulishwa kama mshiriki mwingine.

Malaika wa pili akamwambia, "Nenda uongee na mtu yule

Malaika mwingine alimwambia malaika aliyekuwa ameongea na Zakaria, "Nenda haraka uongee na mtu mwenye kipimo"

Yerusalemu inakaa katika nchi wazi

Kifungu hiki kinamaanisha kwamba Yerusalemu haitazungukwa na kuta.

kuwa kwake ukuta wa moto kumzunguka

Yahwe anasema atailinda Yerusalemu na kulinganisha ulinzi wake na ukuta wa moto.

Hili ni tamko la Yahwe

Kifungu hiki wakati mwingine kinatafasiriwa kama asema Yahwe.