forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
759 B
Markdown
44 lines
759 B
Markdown
# Sentensi unganishi:
|
|
|
|
Paulo anaelezea kile Tito anapaswa kuepuka na kuwashughulikia wale ambao wanasababisha ubishi miongoni mwa waumini.
|
|
|
|
# Bali
|
|
|
|
"lakini wewe, Tito,"
|
|
|
|
# mijadala ya kipumbavu
|
|
|
|
"mabishano kuhusu mambo yasiyo ya muhimu"
|
|
|
|
# nasaba
|
|
|
|
mambo yanayohusu habari za uhusiano wa kifamilia au ukoo
|
|
|
|
# ugomvi/mashindano
|
|
|
|
"kugombana"
|
|
|
|
# sheria
|
|
|
|
"sheria za Musa"
|
|
|
|
# Kataa/kumkataa
|
|
|
|
"kujitenga" au "kutoingiliana na" au "msikae na" au "kuepuka"
|
|
|
|
# baada ya onyo moja au mawili
|
|
|
|
"baada ya kumuonya mtu huyo mara moja au mara mbili"
|
|
|
|
# mtu wa aina hiyo
|
|
|
|
"mtu kama huyo"
|
|
|
|
# ameiacha njia iliyo sahih
|
|
|
|
Paulo anamzungumzia mtu yule anayefanya makosa kana kwamba anaiacha njia ambayo amekuwa akiiendea.
|
|
|
|
# anajilaani mwenyewe
|
|
|
|
"analeta hukumu juu yake mwenyewe"
|