sw_tn/tit/03/09.md

759 B

Sentensi unganishi:

Paulo anaelezea kile Tito anapaswa kuepuka na kuwashughulikia wale ambao wanasababisha ubishi miongoni mwa waumini.

Bali

"lakini wewe, Tito,"

mijadala ya kipumbavu

"mabishano kuhusu mambo yasiyo ya muhimu"

nasaba

mambo yanayohusu habari za uhusiano wa kifamilia au ukoo

ugomvi/mashindano

"kugombana"

sheria

"sheria za Musa"

Kataa/kumkataa

"kujitenga" au "kutoingiliana na" au "msikae na" au "kuepuka"

baada ya onyo moja au mawili

"baada ya kumuonya mtu huyo mara moja au mara mbili"

mtu wa aina hiyo

"mtu kama huyo"

ameiacha njia iliyo sahih

Paulo anamzungumzia mtu yule anayefanya makosa kana kwamba anaiacha njia ambayo amekuwa akiiendea.

anajilaani mwenyewe

"analeta hukumu juu yake mwenyewe"