sw_tn/rom/15/30.md

380 B

Sasa

Kama lugha yako ina namna ya kuonyesha Paulo ameacha kuongelea kuhusu mambo mazuri ana tumaini. Na sasa anaanza kuzungumzia juu ya hatari anayokutana nayo, itumie hapa.

Ninawasihi

"Ninawatia moyo"

ndugu

"Hapa ina maana ya kujumuisha waumini wote wa kiume na wa kike.

shiriki

"tenda kwa bidii" au "hangaika"

kuokolewa

"Kuokolewa toka hatari" au "kulindwa"