sw_tn/rom/15/30.md

20 lines
380 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sasa
Kama lugha yako ina namna ya kuonyesha Paulo ameacha kuongelea kuhusu mambo mazuri ana tumaini. Na sasa anaanza kuzungumzia juu ya hatari anayokutana nayo, itumie hapa.
# Ninawasihi
"Ninawatia moyo"
# ndugu
"Hapa ina maana ya kujumuisha waumini wote wa kiume na wa kike.
# shiriki
"tenda kwa bidii" au "hangaika"
# kuokolewa
"Kuokolewa toka hatari" au "kulindwa"