forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
380 B
Markdown
20 lines
380 B
Markdown
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Kama lugha yako ina namna ya kuonyesha Paulo ameacha kuongelea kuhusu mambo mazuri ana tumaini. Na sasa anaanza kuzungumzia juu ya hatari anayokutana nayo, itumie hapa.
|
||
|
|
||
|
# Ninawasihi
|
||
|
|
||
|
"Ninawatia moyo"
|
||
|
|
||
|
# ndugu
|
||
|
|
||
|
"Hapa ina maana ya kujumuisha waumini wote wa kiume na wa kike.
|
||
|
|
||
|
# shiriki
|
||
|
|
||
|
"tenda kwa bidii" au "hangaika"
|
||
|
|
||
|
# kuokolewa
|
||
|
|
||
|
"Kuokolewa toka hatari" au "kulindwa"
|