sw_tn/rom/15/15.md

276 B

kipawa nilichopewa na Mungu

Kipawa hiki ni kile alichochaguliwa kuwa mtume bila kujali mateso aliyowatendea waumini kipindi cha kuamini kwake. "kipawa ambacho Mungu alinipa"

kujitoa kwa mataifa uweze kukubaliwa

"Mungu anaweza kupendezwa na mataifa iwapo wanamtii yeye"