sw_tn/rom/15/12.md

190 B

shina la Yese

Yese alikuwa baba wa kimwili wa Mfalme Daudi. "uzao wa Yese"

Watu wa Mataifa watakuwa na ujasiri ndani yake

"Yeye/yake" hapa inamaanisha uzao wa Yese, ambaye ni Masihi.