sw_tn/rom/14/20.md

288 B

Si jambo jema kula nyama, wala kunywa divai, wala chochote ambacho ndugu yako anaona ni vibaya

"Ni afadhali usile nyama au kunywa divai au chochote ambacho kinawaza kumsababisha mwenzako afanye dhambi"

Yako

Hii inamaanisha imani thabiti na "Ndugu" inamaanisha ndugu aliye dhaifu.