forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
738 B
Markdown
20 lines
738 B
Markdown
# Najua na ninashawishika katika Bwana Yesu
|
|
|
|
Hapa maneno "jua" na " Ninashawishika" yanamaanisha kitu kilekile; Paulo anayatumia kusisitiza uhakika wake. "Nina uhakika kwa sababu ya mahusiano yangu na Bwana Yesu"
|
|
|
|
# Hakuna kilicho safi kwa ajili yake chenyewe
|
|
|
|
"Kila kitu chenyewe ni safi"
|
|
|
|
# Kwa ajili yake mwenyewe adhaniye kuwa ni safi, kwake yeye si safi
|
|
|
|
Lakini kama mtu akidhani kuwa kitu fulani si safi, hivyo kwake yeye si safi na anapaswa kuwa mbali nacho"
|
|
|
|
# Ikiwa ni kwa sababu ya chakula ndugu yako anaumia
|
|
|
|
"Ikiwa utaumiza imani ya mwamini mwenzako kwa mabo ya chakula." hapa neno "yako" linamaanisha imani thabiti na " ndugu" linamaanisha aliye dhaifu katika imani.
|
|
|
|
# Hautembei tena katika upendo
|
|
|
|
"Hauoneshi tena upendo"
|