sw_tn/rom/14/12.md

446 B

Atatoa hesabu yake kwa Mungu

"atatoa maelezo ya matendo yetu kwa Mungu

Lkini badala yake amua hivi, kwamba hakuna mtu atakaye weka kitu cha kujikwaa au mtego kwa ndugu yake

Hapa "kitu cha kujikwaa" na "mtego" inamaanisha kitu kilekile. " Lakini fanya kuwa lengo lako kutofanya au kusema neno lolote ambalo linaweza kumfanya mwamini mwenzako kufanya dhambi"

Ndugu

Hapa hii inamaanisha mwamini mwenzako, ikijumuisha wanawake na wanaume.