sw_tn/rom/14/03.md

502 B

Wewe ni nani, wewe unaye hukumu mtumishi ambaye ni mali ya mtu mwingine?

Paulo anatumia swali kukemea wale wanao hukumu wengine. " wewe si Mungu, na hunaruhusa ya kuhukumu mojawapo wa watumishi wake"

Wewe, wewe

U-moja

Ni mbele ya bwana wake kuwa anasimama au kuanguka

"Ni bwana wake tu anaweza kuamua ikiwa atamkubali mtumishi au atamkataa"

Lakini atamfanya asimame, kwa kuwa Bwana ana uwezo wa kumsimamisha.

"Lakini Bwana atamkubali kwa sababu anauwezo wa kumfanya mtumishi akubalike"