forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1000 B
Markdown
36 lines
1000 B
Markdown
# Senensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anawaambia waamini jinsi ya kufanya kwa majirani.
|
|
|
|
# Usidaiwe na mtu kitu chochote
|
|
|
|
"Lipa unachodaiwa na serikali na kila mtu yeyote"
|
|
|
|
# Usidaiwe
|
|
|
|
Tendo hili liko katika hali ya u wingi na linawahusu waamini wote wa Rumi.
|
|
|
|
# Upendo
|
|
|
|
Hii ina maanisha upendo ambao unatoka kwa Mungu ambao unaelekeza mazuri kwa wengine, hata kama haimfaidii mtu mwenyewe.
|
|
|
|
# Isipokuwa
|
|
|
|
Sentensi mpya: " Kuwapenda wakristo wengine ni deni moja ambalo unaweza kuendelea kudaiwa"
|
|
|
|
# Uta
|
|
|
|
Mahali popote palipo na neno "uta" katika 13:9 ni katika hali ya umoja, ingawa mwandishi alikuwa akiwaambia kundi la watu kana kwamba alikuwa mtu mmoja, kwa hiyo unaweza kutumia neno lenye kuonesha u wingi hapa.
|
|
|
|
# Tamani
|
|
|
|
Kutamani kuwa au kumiliki kitu fulani ambacho mtu hana na asingeweza kuwa nacho au kumiliki.
|
|
|
|
# Upendo haudhuru
|
|
|
|
Sentensi hii inaonesha upendo kama mtu aliye mwema kwa watu wengine. " Watu wanao penda wenzao hawawezi kuwadhuru."
|
|
|
|
# Kwahiyo
|
|
|
|
"Kwa sababu upendo haudhuru jirani wa mtu"
|