sw_tn/rom/13/08.md

36 lines
1000 B
Markdown

# Senensi unganishi
Paulo anawaambia waamini jinsi ya kufanya kwa majirani.
# Usidaiwe na mtu kitu chochote
"Lipa unachodaiwa na serikali na kila mtu yeyote"
# Usidaiwe
Tendo hili liko katika hali ya u wingi na linawahusu waamini wote wa Rumi.
# Upendo
Hii ina maanisha upendo ambao unatoka kwa Mungu ambao unaelekeza mazuri kwa wengine, hata kama haimfaidii mtu mwenyewe.
# Isipokuwa
Sentensi mpya: " Kuwapenda wakristo wengine ni deni moja ambalo unaweza kuendelea kudaiwa"
# Uta
Mahali popote palipo na neno "uta" katika 13:9 ni katika hali ya umoja, ingawa mwandishi alikuwa akiwaambia kundi la watu kana kwamba alikuwa mtu mmoja, kwa hiyo unaweza kutumia neno lenye kuonesha u wingi hapa.
# Tamani
Kutamani kuwa au kumiliki kitu fulani ambacho mtu hana na asingeweza kuwa nacho au kumiliki.
# Upendo haudhuru
Sentensi hii inaonesha upendo kama mtu aliye mwema kwa watu wengine. " Watu wanao penda wenzao hawawezi kuwadhuru."
# Kwahiyo
"Kwa sababu upendo haudhuru jirani wa mtu"