sw_tn/rom/13/08.md

1000 B

Senensi unganishi

Paulo anawaambia waamini jinsi ya kufanya kwa majirani.

Usidaiwe na mtu kitu chochote

"Lipa unachodaiwa na serikali na kila mtu yeyote"

Usidaiwe

Tendo hili liko katika hali ya u wingi na linawahusu waamini wote wa Rumi.

Upendo

Hii ina maanisha upendo ambao unatoka kwa Mungu ambao unaelekeza mazuri kwa wengine, hata kama haimfaidii mtu mwenyewe.

Isipokuwa

Sentensi mpya: " Kuwapenda wakristo wengine ni deni moja ambalo unaweza kuendelea kudaiwa"

Uta

Mahali popote palipo na neno "uta" katika 13:9 ni katika hali ya umoja, ingawa mwandishi alikuwa akiwaambia kundi la watu kana kwamba alikuwa mtu mmoja, kwa hiyo unaweza kutumia neno lenye kuonesha u wingi hapa.

Tamani

Kutamani kuwa au kumiliki kitu fulani ambacho mtu hana na asingeweza kuwa nacho au kumiliki.

Upendo haudhuru

Sentensi hii inaonesha upendo kama mtu aliye mwema kwa watu wengine. " Watu wanao penda wenzao hawawezi kuwadhuru."

Kwahiyo

"Kwa sababu upendo haudhuru jirani wa mtu"