sw_tn/rom/12/19.md

981 B

Kisasi ni changu; nitalipa

Mistari hii miwili inamaanisha kitu kimoja kwa kusisitiza kwamba Mungu atawalipiza watu wale. "Nitawalipiza ninyi"

Adui yako .... mlishe..... mnyweshe... ukifanya hivi, utakusanya ... Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya

Aina zote za "wewe" au "yako" inamuelezea mtu mmoja.

Lakini adui yako akiwa na njaa.... kichwa chake

Paulo ananukuu sehemu nyingine ya maandiko. "Lakini pia imeandikwa, 'ikiwa adui yako ana njaa... kichwa chake"'

Mlishe

"Mpe chakula"

Kusanya makaa ya moto juu ya kichwa chake

Paulo anafananisha adhabu watakayoipata maadui na kaa la moto linalowekwa kwenye vichwa vyao. maana nyingine zaweza kuwa 1)"kumfanya mtu aliyekuumiza kujisikia vibaya kwa namna alivyokutendea" au 2) "Kumpa Mungu sababu ya kuwahukumu adui zako vibaya zaidi"

Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema

Paulo anauelezea "ubaya" kama kitu kinachoishi. "Msiwaache waliowaovu wawashinde, ila muwashinde kwa kufanya yaliyo mema."