sw_tn/rom/11/09.md

420 B

Acha meza zao ziwe na wavu

"Meza" inawakilisha sherehe, na "neti" au "mtego" inawakilisha adhabu. Nakusihi Mungu wakamate na uwatege katika sherehe zao"

Makwazo

"kitu kinachowafanya watende dhambi"

na kulipiza kisasi dhidi yao

"kitu kinachokuruhusu kulipa kisasi kwao"

Ukawainamishe migongo yao daima

Daudi alimuomba Mungu awafanye adui zake kuwa watumwa wanaobeba mizigo mizito kwenye migongo yao daima.