forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
770 B
Markdown
28 lines
770 B
Markdown
# Taarifa ya ujumla:
|
|
|
|
Hapa maneno "mimi" na "yangu" urejea kwa Mungu
|
|
|
|
# Na Isaya ana ujasiri wa kutosha kusema
|
|
|
|
Hii ina maanisha nabii Isaya aliandika kile Mungu alikwisha sema.
|
|
|
|
# Nilipatikana na wale ambao hawakunitafuta mimi
|
|
|
|
Pia, manabii mara nyingi huongelea mambo yajao kama vile yamekwisha tokea. Hii inasisitiza kwamba unabii bila shaka utatimia. "Ijapokuwa watu wa Mataifa hawatanitafuta, watanipata"
|
|
|
|
# Nilionekana
|
|
|
|
"Nilifanya mwenyewe kuonekana"
|
|
|
|
# anasema
|
|
|
|
"Yeye" ni Mungu, anaongea kupitia Isaya
|
|
|
|
# Kwa siku yote
|
|
|
|
Kifungu cha maneno haya kinatumika kusisitiza mwendelezo wa juhudi za Mungu. "mwendelezo"
|
|
|
|
# Nilinyosha mikono yangu watu wasio na utiifu na wabishi
|
|
|
|
"Nilijaribu kukukaribisha na kukusaidia, lakini ulikataa msaada wangu na kuendelea kutotii"
|