sw_tn/rom/10/20.md

770 B

Taarifa ya ujumla:

Hapa maneno "mimi" na "yangu" urejea kwa Mungu

Na Isaya ana ujasiri wa kutosha kusema

Hii ina maanisha nabii Isaya aliandika kile Mungu alikwisha sema.

Nilipatikana na wale ambao hawakunitafuta mimi

Pia, manabii mara nyingi huongelea mambo yajao kama vile yamekwisha tokea. Hii inasisitiza kwamba unabii bila shaka utatimia. "Ijapokuwa watu wa Mataifa hawatanitafuta, watanipata"

Nilionekana

"Nilifanya mwenyewe kuonekana"

anasema

"Yeye" ni Mungu, anaongea kupitia Isaya

Kwa siku yote

Kifungu cha maneno haya kinatumika kusisitiza mwendelezo wa juhudi za Mungu. "mwendelezo"

Nilinyosha mikono yangu watu wasio na utiifu na wabishi

"Nilijaribu kukukaribisha na kukusaidia, lakini ulikataa msaada wangu na kuendelea kutotii"