sw_tn/rom/10/19.md

742 B

Zaidi, nasema, "Waisraeli hawakujua"

Paulo anatumia swali kwa msisitizo. Neno "Israeli" urejea kwa watu walio ishi katika taifa la Israeli. "Tena nakwambia watu wa Israeli hawakujua ujumbe.

Kwanza Musa anasema, "Nitakukasirisha... Nitakuchochea

Hii ina maanisha kwamba Musa aliandika chini kile Mungu alisema. "Mimi" urejea kwa Mungu, na "wewe" urejea kwa Waisraeli. "Kwanza Musa anasema kwamba Mungu atakukasirisha...kukuchoea

kwa kipi siyo taifa

"kwa wale hautazamii kuwa ni taifa halisi" au "kwa watu wasio na taifa lolote"

Kwa maan ya taifa lisilo na uelewa

"kwa taifa lenye watu wale wasionijua mimi au amri zangu"

Nitakuchochea wewe kwa hasira

"Nitakufanya wewe kukasirika"

wewe

Hii inarejea kwa taifa la Israeli