forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
742 B
Markdown
24 lines
742 B
Markdown
|
# Zaidi, nasema, "Waisraeli hawakujua"
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia swali kwa msisitizo. Neno "Israeli" urejea kwa watu walio ishi katika taifa la Israeli. "Tena nakwambia watu wa Israeli hawakujua ujumbe.
|
||
|
|
||
|
# Kwanza Musa anasema, "Nitakukasirisha... Nitakuchochea
|
||
|
|
||
|
Hii ina maanisha kwamba Musa aliandika chini kile Mungu alisema. "Mimi" urejea kwa Mungu, na "wewe" urejea kwa Waisraeli. "Kwanza Musa anasema kwamba Mungu atakukasirisha...kukuchoea
|
||
|
|
||
|
# kwa kipi siyo taifa
|
||
|
|
||
|
"kwa wale hautazamii kuwa ni taifa halisi" au "kwa watu wasio na taifa lolote"
|
||
|
|
||
|
# Kwa maan ya taifa lisilo na uelewa
|
||
|
|
||
|
"kwa taifa lenye watu wale wasionijua mimi au amri zangu"
|
||
|
|
||
|
# Nitakuchochea wewe kwa hasira
|
||
|
|
||
|
"Nitakufanya wewe kukasirika"
|
||
|
|
||
|
# wewe
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa taifa la Israeli
|