sw_tn/rom/09/32.md

376 B

Kwani si hivyo?

"Kwanini hawakuweza kuifikia haki?"

kwa matendo

"kwa kujaribu kufanya mambo ambayo yangemfurahisha Mungu" au "kwa kuifata sheria"

jiwe la kujikwaa

"jiwe ambalo watu wanajikwaa"

kama ilivyo kwisha andikwa

"kama Isaya nabii aliandika"

amini ndani yake

Kwa sababu jiwe husimama kwa ajili ya mtu, unaweza kuhitaji kutofasiri "amini katika yeye"