sw_tn/rom/09/22.md

561 B

yeye...yake

Maneno "yeye" na "yake" urejea kwa Mungu.

vyombo vya gadhabu...vyombo vya rehema

"watu wanaostahili gadhabu...watu wanaostahil rehema"

wingi wa utukufu wake

"utukufu wake, ambao ni dhamani kubwa"

ambao alikwisha kuandaa kwa ajili ya utukufu.

"ambao alikwisha kuaanda mbele ya wakati kutoa utukufu"

pia kwa ajili yetu

Neno "yetu" hapa urejea kwa Paulo na wakristo wenzake.

kuitwa

Hapa hii ina maanisha Mungu amewateua au kuchagua watu kuwa watoto wake, kuwa watumishi wake nd watangazaji wa ujumbe wake wa wokovu kupitia Yesu.