sw_tn/rom/09/03.md

547 B

Kwamba ningetamani mimi mwenyewe kulaaniwa na kutengwa mbali na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, wale wa jamii yangu katika mwili.

Mimi binafsi ningekuwa tayari kumwacha Mungu anilaani mimi na, kuniweka mimi mbali na Kristo milele kama hiyo ingewasaidia ndugu zangu waisraeli, watu wa kundi langu, kumwamini Kristo."

Wao ni waisraeli

"Wao, kama mimi, ni waisraeli. Mungu aliwachagua wao kuwa uzao wa Yakobo"

Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima ya mwili.

Kristo amekuja kwa mwili kama mzao kutoka kwa watungulizi wao.