sw_tn/rom/09/01.md

732 B

Sentensi unganishi:

Paul anaeleza kuhusiana na shauku yake kwamba watu wa taifa la Israeli wangeokolewa, kisha anasisitiza njia tofauti ambazo Mungu ameandaa kwa kuamini.

na dhamiri yangu hushuhudia ndani yangu katika Roho Mtakatifu.

Njia mbadala ya utofasiri: "Roho Mtakatifu huongoza dhamiri yangu na kuhakiki nisemacho"

kwa kuwa kwangu mimi kuna huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma ndani ya moyo wangu.

Kama nafsi ya Paul ambayo inahuzunika inahitajika kusemwa, tumia tofasiri nyingine: " Ninakuambia kwamba ninahuzunika kwa wingi na kwa undani."

huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma

Hii misemo miwili inamaanisha haswa maana ile ile. Paulo anatumia kwa pamoja kwa kusisitiza ni kwa namna gani hisia zake zilivyo.