sw_tn/rom/07/13.md

717 B

Taarifa unganishi:

Paul anazungumzia kuhusu vita iliyopo katika utu wake wa ndani kati ya dhambi katika utu wake wa ndani na sheria ya Mungu - kati ya dhambi na wema.

Hivyo

Paulo anatambulisha mada mpya.

kilicho kizuri

Hii inamaanisha sheria ya Mungu.

fanyika kifo kwangu

"ilisababisha mimi nife"

Isiwe hivyo kamwe

"Kwa hakika hiyo si kweli!" Msemo huu unatoa jibu hasi kwa nguvu kufuatia swali la mtego la awali. Unaweza kuwa na msemo unaofanana na huu katika lugha ambao unaweza kuutumia.

dhambi...ilileta mauti ndani yangu

Paulo anaiona dhambi kana kwamba ni mtu anayeweza kutenda.

ilileta mauti ndani yangu

"ilinitenga mimi na Mungu"

kwa njia ya amri

"kwasababu mimi sikuitii amri"